AHUKUMIWA KWENDA JELA MWAKA 1 KWA WIZI WA DAWA SENGEREMA
Mahakama ya wilaya ya Sengerema Mkoani mwanza imemhukumu mtu mmoja kulipa faini kwa makosa matano ,ambapo kosa la kwanza hadi tatu atalipa shilingi laki nne au kwenda jela mwaka mmoja kwa kila kosa na kosa la nne na la tano atalipa faini ya shilingi laki tano au kwenda jela miaka miwili kwa kila kosa. Akisoma mashitaka hayo yanayomkabili mbele ya hakimu wa mahakama hiyo BI MONIKA NDYEKOBORA ,mwendesha mashitaka wa jeshi la polisi inspect...