WANANCHI MJINI SENGEREMA WAONDOKANA NA ADHA YA KUTAFUTA HUDUMA YA MAJI
Huduma ya maji Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza imerejea katika hali yake ya kawaida usiku wa leo februari 09 na kumaliza usumbufu kwa wananchi wa kusaka maji umbali mrefu na kutumia maji ya kwenye mifereji yasiyo safi na Salama.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halamsahauri ya Wilaya ya Sengerema Bwn, Magessa Mafuru Boniphace ambapo amewashukuru wananchi kwa uvumilivu wao.
Aidha Bwn, Boniphace katika kutambua umuhimu wa wananchi wa halmashauri yake ameendelea kuwasisitiza wananchi kuendelea kulipa bili ya maji kuepusha kujitokeza tena katizo hilo la maji mara kwa mara .
Na Emmanuel Twimanye

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halamsahauri ya Wilaya ya Sengerema Bwn, Magessa Mafuru Boniphace ambapo amewashukuru wananchi kwa uvumilivu wao.
Aidha Bwn, Boniphace katika kutambua umuhimu wa wananchi wa halmashauri yake ameendelea kuwasisitiza wananchi kuendelea kulipa bili ya maji kuepusha kujitokeza tena katizo hilo la maji mara kwa mara .
Na Emmanuel Twimanye
Comments
Post a Comment