MIMBA ZA UTOTONI ZABISHA HODI WILAYANI SENGEREMA
Wazazi
wa
kijiji cha Tunyenye kata ya Kishinda wilayani Sengerema wametakiwa kuzingatia malezi kwa watoto wa kike hususani walioko mashuleni ili kujiepusha na
wimbi kubwa la mimba za utotoni.
Hayo
yamebainishwa na Afisa mtendaji wa
kijiji cha Tunyenye bwn Samson Peleka wakati
akiongea na Radio Sengerema amesema hayo
baada ya wanafunzi 2 wa shule ya msingi na secondari Tunyenye kupatiwa ujauzito
Kwa
hatua nyingine Peleka amewataka wanafunzi kuepuka vishawishi na kuacha tabia ya
kujiunga na makundi mabaya kwani watachukuliwa hatua kali
za kisheria.
Na, BWIZA BONIPAHACE

Comments
Post a Comment