MAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TAHADHARI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha kwa mvua kubwa inayofikia asilimia 80 kuanzia leo Jumatano usiku hadi kesho kutwa.

Taarifa ya TMA iliyotolewa Januari 10, 2018 imesema mvua hizo zitanyesha katika maeneo mengi ya ukanda wa Pwani ya Kusini ambayo ni Lindi, Mtwara na maeneo ya Morogoro Kusini.


TMA imetoa tahadhari kwa wakazi wa maeneo yaliyotajwa kuchukua tahadhari stahiki na kuendelea kufuatilia taarifa pamoja na tahadhari zinazotolewa.



Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.