WANANCHI WATAKIWA KUACHANA NA UVUVI HARAMU SENGEREMA

Wananchi wa kijiji cha kasenyi kata ya Kasenyi wilayani Sengerema wametakiwa kuachana na uvuvi haramu ili kuyaacha mazalia ya samaki yaongezeke.
Hayo yamesemwa na Afisa Mtendaji wa kijiji cha kasenyi Bw Juma Bupamba alipokuwa akiongea na Radio Sengerema ofisini kwake na kuwataka wananchi wa kijiji hicho kuachana na uvuvi haramu kwani hali hiyo inapelekea uharibifu wa mazalia ya samaki


Bwn Bupamba ametawataka wananchi wa kijiji cha Kasenyi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho ziwa limefungwa ili samaki waongezekee kwa ajili ya kupata samaki wa kutosha na wakubwa.

Na Tumain John

Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.