WALEMAVU WATAKIWA KUJISHUGHULISHA KUACHA KUWA OMBAOMBA

Watu  wenye    ulemavu   wametakiwa kujikita katika shuguli mbalimbali za kiuchumi  na  kuachana na  dhana  ya kuwa tegemezi   katika   jamii.
Mtu Mwenye ulemavu wa Miguu

Akizungumza na radio sengerema Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya walemavuTanzania (SHIVYAWATA) wilayani Sengerema  Bwn ,CREMENT FRANCINS, amesema kuwa, walevu wanao uwezo wa kufanya kazi na kuachana na dhana ya kukata tamaa.

Bwn FRANCINS amewataka   watu wenye kundi hilo   wasikate tamaa  huku   akiiomba jamii kuacha  kutowajali   watu hao  wanaoshi nao  majumbani mwao   kwani wamekuwa na mkakati wa kupita vijijini kuangalia watoto wenye ulemavu ili wapelekwe  shuleni.

Kwa upande wao walemavu wameiomba serikali kuendelea kuwaangalia na kuwasaidia ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Insert………Mlemavu.

Hata hivyo walemavu wameiomba jamii kuwapa ushilikiano katika shughuli mbalimbali wanazozifanya ili waweze kufikia malengo yao.
Na Michael Mgozi

Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.