#Habari_zilizotufikia_hivi_punde ANUSURIKA KIFO KWA AJALI YA PIKIPIKI.
hii ndiyo Pikipiki iliyosababisha ajali 


Mtu mmoja mwendesha pikipiki maarufu kama Boda boda ambaye jina lake halijatambulika mara moja amenusurika kifo baada ya pikipiki yake aina ya SANLG yenye namba za usajili MC 662 kugongana uso kwa uso na gari dogo aina Noah yenye namba za usajili T 136 DHT  mjini Sengerema katika makutano ya barabara ziendazo Geita,Kamanga,na Busisi.


Baadhi ya mashuhuda wa ajali hii




Tutaendelea kukujuza kitakachoendelea endalea kusikiliza 98.9 Radio Sengerema fm

Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.