ZAHANATI  YAWAKA  UMEME  MASAA 24 
Image may contain: 1 person, standing, child, tree, outdoor and nature

Zahanati ya kijiji cha Bukokwa Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema imefanikiwa kutatua changamoto ya ukosefu wa umeme pamoja na maji.

Mganga mfawidhi wa zahanati hiyo  Deric Mashauri  amesema hayo baada ya kutembelewa na radio Sengerema  kwa lengo la kujionea namana zahanati hiyo inavyotoa huduma kwa wananchi.


Mashauri    amesema kuwa    baada ya kutatuliwa kero  hizo kwa sasa     wananchi wanafurahia huduma za matibabu huku wakiishukuru serikali  kwa kutatua changamoto hizo.

Na Peter Marlesa


Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.