WAUMIN WA DINI YA KIISLAMU WOTE WILAYANI SENGEREMA WATAKIWA KUSHEREKEA KWA AMANI NA UTULIVU
Image result for picha za eid mubarak
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mh.Emmanuel Kipole leo amewatahadharisha wazazi kutowaacha watoto wao kutembea wakiwa wenywewe kwenye sikukuu  ya Idd El Hajji.
Akizungumza na radio sengerema ofisini kwake Mh,Kipole amesema kuwa ameimarisha ulinzi na usalama huku akiwakikishia kuwa hapatakuwepo na uvunjifu wa amani.
Ameongeza kuwa waislamu na madhehebu yote wamekuwa wakitoa mchango mkubwa katika kuimarisha amani ya Tanzania huku akiwaomba kuzidi kutoa maadili  katika jamii.
Aida waisalmu wote ulimwenguni wanasherekea sikukuu ya Idd  El Hajji baada ya kumaliza hija ambayo hufanyika kila mwaka.
Na Anna  Elias


Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.