MKUTANO WA BUNGE LEO WAANZA RASMI MJINI DODOMA
Image result for PICHA YA BUNGE LA TANZANIA
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  leo    limeanza   rasmi    mkutano wake wa nane wa Bunge mjini Dodoma.

Bunge leo   limewaapishwa   wabunge saba wa Chama Cha Wananchi CUF ambao wameteuliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC)

Mbali na kuapishwa kwa wabunge hao saba ambao wapo upande wa Profesa Ibrahim Lipumba  pia  kutakuwa na miswaada mitatu ambayo inatarajiwa kusomwa hii leo.



Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.