HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE;BASI LA MSUKUMA LAANGUKA SENGEREMA
Image result for BASI LA KING MSUKUMA
BASI LA KING MSUKUMA
Basi la king msukuma limepinduka katika kata ya Katunguru wilayani Sengerema wakati likikwepa bajaji barabarani ndipo lilipoyumba na kupinduka na abiria idadi ambayo haijajulikana wamejeruhiwa na tayari wamekimbizwa katika Hospitali teule ya wilaya ya Sengerema kwa matibabu na hakuna aliyepoteza maisha.


Endelea kufuatilia taarifa zetu za habari kutakujuza mengi zaidi

Comments

Popular posts from this blog

KISIWA CHA ZILAGULA KIPO HATARINI KUKUMBWA NA KIPINDUPINDU WILAYANI SENGEREMA

WANAFUNZI WAONDOKANA NA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI MREFU KUFUATA ELIMU KATIKA KIJIJI CHA ILEKANILO WILAYANI SENGEREMA.